#Local News

RUTO: UPINZANI UNACHEZA PATA POTEA

Rais William Ruto ameukosoa muungano wa upinzani kutokana aanachokitaja kuwa kukosa ajenda na kucheza pata potea na masuala muhimu ya wakenya.

Akizungumza kwenye kaunti ya Uasin Gishu wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya mradi wa NYOTA, Rais Ruto amewatahadharisha vijana dhidi ya kutumika na viongozi wa kisiasa anaosema hawana suluhu kwa matatizo ya vijana kama vile ukosefu wa ajira.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO: UPINZANI UNACHEZA PATA POTEA

JIJI LA MIJENGO OVYO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *