#Local News

KINDIKI: NYOTA KUWAFIKIA MILIONI 2

Mradi wa ujasiriamali wa serikali wa NYOTA unalenga kupanuliwa ili kuwafaidi vijana zaidi ya milioni 2 kote nchini, tayari vijana 820,000 wakiwa wamelengwa

Haya ni kulingana na naibu Rais Kithure Kindiki, akisema lengo la mradi huo ni kuona vijana wengi wamepata mafunzo na mtaji wa kuendesha biashara ili kujikimu kiuchumi.

Jumla ya vijana 121,000 wamepokea ufadhili wa serikali, ambapo kila kijana alipokea shilingi 22,000 katika awamu ya kwanza.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KINDIKI: NYOTA KUWAFIKIA MILIONI 2

KANUNI MPYA ZA KRA ZA KUKUSANYA USHURU

KINDIKI: NYOTA KUWAFIKIA MILIONI 2

RUTO AKUTANA NA WAGOMBEA WA UDA IKULU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *