#Local News

MLINZI WA LIVONDO

Polisi katika eneo la Malava kaunti ya Kakamega wanachunguza tukio ambapo mlinzi wa mwanasiasa Stanley Livondo, amejeruhiwa usoni na kundi la watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.

Imearifiwa kuwa kabla ya hapo, mlinzi huyo alivamiwa na wakazi kwa tuhuma za kuwahonga wapiga kura eneo hilo na kumlazimisha kuvua nguo zote, akishukiwa kuwa na kitita cha pesa.

Livondo amehusisha vurugu hizo na mgombeaji wa DAP-K Seth Panyako.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MLINZI WA LIVONDO

UPIGAJI KURA MAENEO 22 WAANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *