#Local News

VIONGOZI TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA

Baadhi ya wawakilishi wadi katika kaunti ya Trans Nzoia wamewahimiza viongozi kwenye kaunti hiyo kutoingiza siasa katika masuala ya maendeleo, wakisema mwelekeo huo utasababisha wakazi kusalia nyuma kimaendeleo.

Wakiongozwa na mwenzao wa Hospital Eric Wafula, wawakilishi wadi hao wamehimiza ushirikiano wa viongozi wa kaunti hiyo na serikali kuu kama kigezo cha maendeleo.

Wito huo unajiri baada ya Rais William Ruto kuahidi shilingi bilioni 1 kuimarisha hospitali ya level 4 ya Wamalwa Kijana mjini Kitale.

Imeatayarishwa na Antony Nyongesa

VIONGOZI TRANS NZOIA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA

USIKU MUHIMU KWA KLABU ZA UEFA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *