#Local News

AVIATION FM YAPAA 

Aviation Radio ndiyo Gospel Radio Station of the year mwaka wa 2025, baada ya kuibuka mshindi katika tuzo ya Kibali kwenye dhifa iliyoandaliwa Jumamosi.

Akizungumza kwenye sherehe hizo zilizotamalaki shangwe na nderemo, meneja wa kituo hiki Joseph Saasia maarufu kama Yombo, aliahidi kuboreshwa zaidi kwa matangazo ya kituo hiki, akiwahimiza wasikilizaji kuendelea kusikiliza Aviation FM.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *