#Local News

IEBC YAZINDUA MPANGO WA USAJILI WA WAPIGA KURA KIDIJITALI

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza mpango wa kuzindua jukwaa la kidijitali litakalorahisisha zoezi la usajili wa wapiga kura, hasa kwa vijana.

Mwenyekiti wa IEBC Erastus Ethekon amesema jukwaa hilo litaruhusu wanaojiandikisha kujaza taarifa zao mtandaoni kabla ya kufika vituo vya usajili kuweka alama za kibayometriki.

Ethekon ame ongeza kuwa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2027 yako kwenye mstari sahihi, huku usajili wa wapiga kura ukiwa ajenda muhimu ya tume ili kuongeza idadi ya Wakenya watakaoshiriki katika uchaguzi.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

IEBC YAZINDUA MPANGO WA USAJILI WA WAPIGA KURA KIDIJITALI

RUTO AKUTANA NA WAGOMBEA WA UDA IKULU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *