#Local News

RAIS RUTO AMEANZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU KAUNTI YA NAKURU

Rais William Ruto ameanza ziara ya siku tatu katika kaunti ya Nakuru, akiwa na lengo  la kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo ujenzi wa barabara ya Kinamba kuelekea Mengich, Murionduko na Kuresoi kaskazini .

Miradi hiyo inaolenga kuboresha miundombinu na kuimarisha uchumi wa eneo hilo.

Aidha, ameongoza shughuli ya upanzi wa miche elfu tano katika msitu wa mau, kama sehemu ya juhudi za serikali za kuhifadhi mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Ziara hiyo inatarajiwa kuendelea kwa siku tatu, ambapo miradi mingine ya maendeleo inatarajiwa kuzinduliwa katika maeneo mbalimbali ya kaunti ya Nakuru.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS RUTO AMEANZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU KAUNTI YA NAKURU

KARUA AWATAKA WAKENYA KUTETEA HAKI ZAO

RAIS RUTO AMEANZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU KAUNTI YA NAKURU

RUKU ATOA WITO WA KUFAFANULIWA UPYA KWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *