#Local News

OMTATAH MAHAKAMANI KUPINGA KITUO CHA IEBC

Seneta wa Busia Okiya Omtatah amewasilisha kesi mahakamani akitanga mahakama itoe agizo kwamba tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC imekuwa ikikiuka katiba kwa kuanzisha na kuendesha kituo cha kitaifa cha kujumlisha kura, chenye uwezo wa kuhakiki, kubadilisha au kujumlisha upya matokeo ya urais.

Kwenye kesi yake, Omtatah amekariri vipengee vya 86 na 138 vya katiba, inavyokariri kuwa matokeo yanayotangazwa katika maeneo bunge ndiyo ya mwisho na hayawezi kubadilishwa.

Amesisitiza kuwa kipengee cha 39 cha sheria za uchaguzi kilichozindua kituo hicho, kinakiuka katiba.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

A basic bullet vibrator like this one

OMTATAH MAHAKAMANI KUPINGA KITUO CHA IEBC

KAMPENI ZA CHAGUZI NDOGO KIKOMO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *