#Local News

MARUFUKU YA UKATAJI MITI YAONDOLEWA

Ni afueni kwa wafanyabiashara katika sekta ya mbao baada ya rais William Ruto kuondoa marufuku ya ukataji miti katika misitu ya umma nchini, hatua anayosema itabuni nafasi za ajira mbali ya kusitisha uagizaji wa fenicha.

Rais aliondoa marufuku hiyo alipokuwa katika eneo la Elburgon kaunti ya Nakuru, na kutamatisha marufuku ya miaka 6 iliyowekwa ili kulinda misitu.

Aidha, rais ametangaza kuongeza ujenzi wa barabara ya Nakuru-Mau Summit hadi Malaba.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MARUFUKU YA UKATAJI MITI YAONDOLEWA

RUKU ATOA WITO WA KUFAFANULIWA UPYA KWA

MARUFUKU YA UKATAJI MITI YAONDOLEWA

WANAHARAKATI WATAKA KUACHIWA KWA WENZAO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *