#Local News

UKATILI WA MAFURIKO TRANS NZOIA

Zaidi ya familia 3,000 katika maeneo ya Namanjalala na Kapomboi kaunti ya Trans Nzoia zinalilia msaada wa dharura kutokana na mafuriko baada ya mto Sabwani kuvunja kingo zake na kuwaacha bila makao.

Mafuriko hayo yamesomba mashamba na makazi, waathiriwa wakikabiliwa na athari za magonjwa mbali na hasara kutokana na uharibu wa mazao yao.

Waathiriwa wamehimiza ushirikiano wa serikali kuu na ile ya kaunti kutatua changamoto hizo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UKATILI WA MAFURIKO TRANS NZOIA

MBINU MBOVU ZA UKULIMA KIINI CHA VIFO

UKATILI WA MAFURIKO TRANS NZOIA

OGAMBA AWARAI WAHADHIRI KUELEWA HALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *