#Local News

IEBC: VIJANA HAWAJUI UMUHIMU WA KURA

Idadi ndogo ya wapiga kura wapya waliojitokeza kusajiliwa katika kipindi cha zaidi ya miezi 2 iliyopita imeibua hofu kuhusu kujitolea kwa vijana kushinikiza mageuzi, tume huru ya uchaguzi na mipaka ikisema imewasajili wapiga kura 148,000 pekee.

Kwenye ripoti yake, IEBC iliyoandaa jukwaa la kufanya tathmini ya zoezi la chaguzi ndogo zilizopita, imesema vijana bado hawajakumbatia umuhimu wa kushiriki kura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IEBC: VIJANA HAWAJUI UMUHIMU WA KURA

MUSYOKA AKEJELI GUMZO LA SINGAPORE

IEBC: VIJANA HAWAJUI UMUHIMU WA KURA

TUSKER FC ROHO JUU DISEMBA HII

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *