IMLU YAONYESHA MADHILA DHIDI YA RAIA
Mwaka huu wa 2025 umekuwa mwaka mbaya zaidi wa ukiukaji wa haki za kibinadamu nchini, Kenya ikiorodheshwa kuwa miongoni mwa mataifa yaliyoshuhudia ukiukaji mkubwa wa haki za kibinadamu uliotekelezwa pakubwa na maafisa wa usalama.
Haya ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la IMLU, inayoonyesha kuwa zaidi ya watu 100 waliuawa kiholela, wengine 1,500 wakikamatwa bila hatia mwaka huu pekee.
Naye jaji mkuu Martha Koome amehimiza utiifu wa maagizo ya korti.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































