#Sports

JUNIOR STARS WAJIANDAA KUIVAA ETHIOPIA

Kocha wa timu ya taifa kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17 William Muluhya, amesema kikosi chake kitatumia ushindi mara 2 katika mechi za awali kama motisha kwenye mechi yao ya mwisho ya makundi dhidi ya Ethiopia hii leo.

Licha ya timu zote 2 kufuzu awamu ya semifainali, Stars wanalenga kutwaa ubingwa wa michuano ya CECAFA, na watahitaji kuwatungia wenyeji sheria kwenye mchuano huo uliokuwa umeratibiwa kusakatwa hapo kesho.

Timu 2 bora kwenye mashindano hayo ya CECAFA zitafuzu kusakata dimba la mataifa bingwa barani Afrika AFCON kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JUNIOR STARS WAJIANDAA KUIVAA ETHIOPIA

DEAFLYMPICS 2025 KUFUNGA MILANGO LEO

Many people experience stress aid

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *