#Football #Sports

 SALLY BOLO:KIPIGO CHA GOR MAHIA MWAMKO WA KOGALO

Makamu wa rais wa Gor Mahia, Sally Bolo amesema kuwa kushindwa kwa mechi ya 98 ya mashemeji derby dhidi ya wapinzani wao AFCleopards, ni mwamko wa k’ogalo katika ligi kuu ya kenya.

Kipigo cha gor mahia cha 1-0 dhidi ya ingwe kilimaanisha k’ogalo wameshindwa kushinda katika mashemeji derby katika makala matatu mfululizo, baada ya kushiriki viporo nyumbani na ugenini msimu uliopita. Kufuatia onyesho kuu la vijana wa Fred Ambani Bolo amekubali kushindwa na kukiri kwamba kocha Charles Akonnor na wasaidizi wake wanapaswa kujifunza kutokana na kipigo hicho.

Imetayarishwa na Jones Koikai

 SALLY BOLO:KIPIGO CHA GOR MAHIA MWAMKO WA KOGALO

JOYCILINE AVUNJA REKODI

 SALLY BOLO:KIPIGO CHA GOR MAHIA MWAMKO WA KOGALO

WALIMU WA JSS KUPATA AJIRA MWAKA UJAO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *