#Local News

MATIANG’I ASHINIKIZA MAGEUZI YA ELIMU

Aliyekuwa Waziri wa usalama Fred Matiang’i, amehimiza haja ya vikao vya dharura kuandaliwa ili kujadili na kupata suluhu kwa changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini.

Akizungumza kwenye kaunti ya Kiambu, Matiang’i ambaye ni naibu kinara wa chama cha Jubilee, amesisitiza haja ya sekta hiyo kufanyiwa mageuzi ili kuilainisha.

Aidha, amekosoa madai kwamba serikali imeingiza siasa katika utoaji wa vitambulisho vya kitaifa kwa raia wa kigeni.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MATIANG’I ASHINIKIZA MAGEUZI YA ELIMU

SIKU YA KIHISTORIA GRADE 10

MATIANG’I ASHINIKIZA MAGEUZI YA ELIMU

OWALO AJIUZULU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *