#Local News

SERIKALI YAAHIDI USALAMA UCHAGUZINI

Serikali imewahakikishia wapiga kura kwamba usalama umeimarishwa katika maeneo yote ambako uchaguzi mdogo umeratibiwa kufanyika Alhamisi wiki hii ikiwemo eneo bunge la Mbeere North ambako vurugu zimekuwa zikishuhudiwa.

Akizungumza kwenye msururu wa kampeni eneo hilo, naibu Rais Kithure Kindiki amekariri kuwa vitendo vya vurugu havitavumiliwa na serikali.

Kindiki aidha ametetea utendakazi wa serikali eneo hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SERIKALI YAAHIDI USALAMA UCHAGUZINI

IEBC YAKANA KUIBA UCHAGUZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *