#Local News

WETANG’ULA ATAKA NCIC IVUNJILIWE MBALI 

Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula amelitaka bunge kuvunjilia mbali tume ya kitaifa kuhusu uwiano na utangamano, NCIC, kwa misingi kwamba imeshindwa kutekeleza wajibu wake.

Akirejelea matamshi ya aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua dhidi ya mbunge wa Nyaribari Chache Zaheer Janda, Wetang’ula amemwagiza kiongozi wa walio wengi bungeni Kimani Ichung’wa kuhakikisha kuwa NCIC inavunjiliwa mbali iwapo haiwawajibisha wanaoeneza chuki.

Amependekeza kubuniwa kwa tume mpya.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WETANG’ULA ATAKA NCIC IVUNJILIWE MBALI 

UTATA WA PASPOTI MIKONONI MWA RAIA WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *