#Local News

ODM YASISITIZA INGALI SERIKALINI

Chama cha ODM kimesisitiza kuwa kitaifanya mazungumzo ya kisiasa na vyama vye maono sawa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka ujao, na kwamba hakitajiondoa serikalini jinsi baadhi ya viongozi wanavyodai.

Kumekuwa na tetesi kwamba ODM itajiondoa serikalini mwezi huu wakati wa mkutano wa wajumbe, ila kinara Oburu Oginga amezitaja tetesi hizo kama porojo.

IMetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *