#Local News

WATU 11 WAMEFARIKI KUFUATIA AJALI YA NDEGE

Watu 11 wameripotiwa kufariki katika ajali ya ndege ambayo imeanguka katika eneo la tsimba-matuga eneo bunge la matuga kaunti ya Kwale.

Ajali hiyo imethibitishwa na mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usafiri wa anga nchini emile arao akisema kwamba ndege hiyo, nambari ya usajili 5y-cca, iliyokuwa na watalii ilikuwa ikielekea kichwa tembo maasai mara kutoka diani kabla ya kuanguka mapema hii leo.

Maafisa kutoka idara ya uchunguzi wa ajali za ndege wameanzisha uchunguzi.

Imetayarishwa na Jones Koikai

WATU 11 WAMEFARIKI KUFUATIA AJALI YA NDEGE

MAUAJI UON: DCI YAZIDISHA UCHUNGUZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *