#Local News

KAMPENI ZA CHAGUZI NDOGO KIKOMO

Kampeni za chaguzi ndogo katika maeneo mbali mbali ya taifa zimekamilika rasmi huku macho yote sasa yakielekezwa kwa tume ya IEBC kuona jinsi itakavyoendesha chaguzi hizo Alhamisi wiki hii, hasa kutokana na madai kwamba tume hiyo imeonyesha miegemeo ya kisiasa.

Miongoni mwa maeneo kutakakofanyika chaguzi hizo ni wadhifa wa useneta kaunti ya Baringo, maeneo bunge ya Malava, Ugunja, Kasipul, Magarini, Mbeere North na wadi ya Kabuchai.

Serikali na upinzani zinalenga kutangaza ubabe wao wa kisiasa kupitia chaguzi hizo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KAMPENI ZA CHAGUZI NDOGO KIKOMO

OMTATAH MAHAKAMANI KUPINGA KITUO CHA IEBC

KAMPENI ZA CHAGUZI NDOGO KIKOMO

IEBC YAKANA KUIBA UCHAGUZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *