#Local News

WAIGURU AZINDUA UJENZI WA KMTC

Gavana wa kirinyaga Anne Waiguru amezindua ujenzi wa chuo cha mafunzo ya matibabu nchini   cha kwanza Kirinyaga, karibu na hospitali ya rufaa ya Kerugoya.

Kulingana na gavana huyo  hatua hii inaonyesha ushirikiano kati ya serikali za kaunti na kitaifa.

Mradi huu unalenga kuboresha utoaji wa huduma za afya na kuwapa vijana elimu na ajira.ujenzi huo unaanza kwa jingo la ghorofa mbili na utakamilika ndani ya mwaka mmoja.

Imetayarishwa na Jones Koikai

WAIGURU AZINDUA UJENZI WA KMTC

KALONZO KUSITISHA UUZAJI WA HISA

WAIGURU AZINDUA UJENZI WA KMTC

IEBC YATETEA CHAGUZI NDOGO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *