#Local News

KNCHR YAPUZILIA MBALI CHAGUZI 

Chaguzi ndogo zilizopita hazikuwa huru na haki kutokana na matumizi ya wahuni, hongo na maafisa wa serikali kushawishi matokeo ya chaguzi hizo.

Ndiyo kauli ya tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu, ikisema maafisa wake walinyimwa ruhusa ya kuingia katika baadhi ya vituo vya kujumlisha kura kutoa uangalizi wao inavyohitajika kisheria.

Wameitaka IEBC kuwajibikia matukio hayo na vifo vya watu 3.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KNCHR YAPUZILIA MBALI CHAGUZI 

UPINZANI: IEBC KIBARAKA WA SERIKALI

KNCHR YAPUZILIA MBALI CHAGUZI 

DUALE: WANAOGOMA SI WAHUDUMU WA AFYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *