WANAFUNZI 14 MIONGONI MWA WAATHIRIWA MARAKWET
Wanafunzi 14 ni miongoni mwa watu 26 waliothibitishwa kufariki katika maporomoko ya ardhi katike eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet.
Haya yanajiri huku shughuli za uokoaji zikiendelea huku zaidi ya watu 20 wakiwa hawajulikanani waliko kufuatia maporomoko hayo yaliathiri vijiji kadhaa mapema Jumamosi kutokana na mvua kubwa.
Katibu mkuu katika wizara ya elimu Julius Bitok, amesema mikakati imewekwa kuwasaidia watahiniwa wa KCSE walioathirika kufanya mtihani wao.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 







































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































