#Local News

 UPINZANI WAMPUUZA RUTO

Muungano wa upinzani nchini umepuzilia mbali kauli ya rais William Ruto kwamba hauna mwelekeo wa kisiasa, ukisema lengo lao ni kutwaa uongozi wa taifa hili kupitia uchaguzi mkuu ujao.

Wakiongozwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, viongozi wa upinzani wamesema kuwa kauli za rais Ruto zinatokana na mapokezi ya kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka nyumbani kwa Waziri mkuu wa zamani marehemu Raila Odinga.

Aidha, wamepinga uwezekano wa wenzao kujiunga na serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

 UPINZANI WAMPUUZA RUTO

UCHUNGUZI: KWS NDIO WALIKUWA WA MWISHO NA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *