#Local News

UPA YAONYESHA UDA KIVUMBI NYAMIRA

Chama cha UPA kinachohusishwa na aliyekuwa Waziri wa usalama Fred Matiang’i, kimeonekana kudidimiza umaarufu wa UDA katika kaunti ya Nyamira, kufuatia ushindi wa wagombeaji wa UPA katika chaguzi 3 za uwakilishi wadi katika kaunti hiyo.

Jeremiah Ongaro wa UPA amembwaga Francis Amenya wa UDA kwa kura 3,507 dhidi ya 2,292, hali sawa ikishuhidiwa katika wadi ya Nyamaia

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UPA YAONYESHA UDA KIVUMBI NYAMIRA

DCP YAVUNA KWENYE CHAGUZI NDOGO

UPA YAONYESHA UDA KIVUMBI NYAMIRA

UDA, ODM ZADUMISHA VITI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *