#Local News

WALIMU WA JSS KUPATA AJIRA MWAKA UJAO

Katibu wa wizara ya elimu, Julius Bitok, amewahakikishia walimu wa JSS waliokuwa chini ya kandarasi kwamba serikali itawapa ajira ya kudumu kunzia mwaka ujao wa kifedha.

Bitok amewataka walimu hao kuwa na subira akisema kwa serikali itashughulikia matakwa yao.

Imewtayarishwa na Jones Koikai

WALIMU WA JSS KUPATA AJIRA MWAKA UJAO

MAKATO YA SHIF NA USHURU WA NYUMBA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *