#Local News

BUNGE, SENETI KUJADILI HOTUBA YA RAIS

Wabunge na maseneta wameratibiwa kujadili hotuba ya rais William Ruto kuhusu hali ya taifa aliyotoa wiki jana, hii ikiwa ni siku ya pili baada ya vikao hivyo kuanza hapo jana.

Kiongozi wa walio wengi katika bunge la kitaifa Kimani Ichung’wa, ametetea hotuba hiyo, akisema inaambatana na utendakazi wa serikali ya Kenya Kwanza kwa muda wa miaka 3 mamlakani.

Kwa mujibu wake, hotuba hiyo iliashiria mwelekeo sahihi wa taifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BUNGE, SENETI KUJADILI HOTUBA YA RAIS

UAMINIFU WA WAKENYA KWA IEBC KUBAINIKA

BUNGE, SENETI KUJADILI HOTUBA YA RAIS

HATMA YA NYARIBO SENETI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *