#Local News

WALIMU WA JSS WATANGAZA MGOMO

Serikali ina hadi Januari mwaka ujao kuingilia kati na kuepusha mgogoro mwingine katika sekta ya elimu, kufuatia tangazo la mgomo wa walimu wa sekondari msingi JSS shule zitakapofunguliwa.

Walimu hao wapatao 20,000 waliopewa mkataba wa mwaka mmoja mapema mwaka huu, wameapa kulemaza shughuli za masomo hadi watakapopewa mikataba ya ajira ya kudumu.

Wamekosoa agizo la Rais William Ruto kwamba wapewe ajira ya kudumu baada ya kuhudumu kwa miaka 2.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WALIMU WA JSS WATANGAZA MGOMO

UONGOZI WA ODM KWENYE RATILI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *