#Local News

ODM YAJIANDAA BILA ODINGA

Kamati kuu ya usimamizi wa chama cha ODM imeratibu kikao maalum hii leo kujadili mustakabali wa chama hicho kufuatia kifo cha aliyekuwa kinara wake Raila Odinga.

Mkutano huo utakaongozwa na kaimu kinara wa chama hicho Oburu Odinga, utafanyika katika makao makuu ya Orange House jijini Nairobi.

Inatarajiwa kwamba wajumbe wa kitaifa wa ODM watamwidhinisha Oburu kuwa kinara rasmi, baada ya wajumbe wa Nyanza tayari kumwidhinisha.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM YAJIANDAA BILA ODINGA

PVK YAPINGA MSWADA WA MAKANISA 2024

ODM YAJIANDAA BILA ODINGA

MITIHANI YA KPSEA, KJSEA WAANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *