#Football #Sports

AMORIM: UNITED KUIMARIKA ZAIDI SIKU ZIJAZO

Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema kikosi chake kimeimarika pakubwa baada
ya kurejea katika kinyang’anyiro cha kufuzu Ligi ya Mabingwa kufuatia ushindi wa 4–1 dhidi ya
Wolves.
United ilirekebisha makosa ya sare ya kuwakatisha tamaa dhidi ya West Ham wiki iliyopita,
ikiongozwa na nahodha Bruno Fernandes aliyefunga mabao mawili katika mchezo uliochezwa
Molineux.
Mabao mengine ya United yalifungwa na Bryan Mbeumo na Mason Mount, ushindi ambao Amorim
amesema unadhihirisha mwelekeo mzuri wa kikosi hicho kuelekea hatua ya mwisho ya msimu.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

AMORIM: UNITED KUIMARIKA ZAIDI SIKU ZIJAZO

PALMER KUTOCHEZA DHIDI YA ATALANTA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *