#Local News

RUTO APUUZA ‘KELELE’ ZA UPINZANI

Hazina mpya ya miundomsingi itakuwa tayari wiki hii licha ya pingamizi ya muungano wa upinzani kuhusiana na mipangilio ya ufadhili wa hazina hiyo kupitia uuzaji wa hisa za kampuni moja ya mawasiliano.

Ni msimamo wa Rais William Ruto akizungumza alipofungua makao makubwa zaidi duniani ya vifaru Weusi katika mbuga ya Tsavo akisema Kenya iko mstari wa mbele kuhakikisha usalama wa wanyamapori.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO APUUZA ‘KELELE’ ZA UPINZANI

RIPOTI YAONYESHA JINSI MUMBE ALIVYOUAWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *