#Local News

WAGOMBEAJI WAZUILIWA KUINGIA KWENYE VITUO VYA UPIGAJI KURA

Baadhi wagombeaji na wafuasi wao wazuiliwa kuingia  kwenye vituo vya kupiga kura kwa nia ya kisingizio cha kulinda kura.

Agizo hili limetolewa na tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC huku afisa wa uchaguzi eneo bunge la Kasipul ,Rebecca Abwakhu akisema hatua hiyo itazuia ghasia  katika uchaguzi mdogo unaoendelea .

Agizo hilo linajiri baada ya mbunge wa Homa bay mjini Peter kaluma kushambuliwa na watu wasiojulikana kwenye kituo cha kupiga kura cha agoro sare. 

Imetayarishwa na Jones Koikai

You also can show your intercourse toy

WAGOMBEAJI WAZUILIWA KUINGIA KWENYE VITUO VYA UPIGAJI KURA

DCP YAVUNA KWENYE CHAGUZI NDOGO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *