#Local News

USAJILI WA MAKURUTU UNAENDELEA KOTE NCHINI

Zoezi la kuwasajili makurutu wa polisi yaendelea kote nchini hata hivyo katika kaunti ya Mombasa idadi ndogo imeshuhudiwa huku baadhi ya

vijana wakishindwa kushiriki baada ya kufika wakiwa wamechelewa.

Afisa anayesimamia zoezi hilo eneo la Mvita Simon Ndiwa amewataka vijana kujitayarisha mapema kwa kuhakikisha wana stakabadhi zinazohitajika kwa usajili wa makurutu.

Imetayarishwa na Jones Koikai

USAJILI WA MAKURUTU UNAENDELEA KOTE NCHINI

GAVANA WA NYAMIRA KUBANDULIWA MAMLAKANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *