#Local News

RUTO KUELEKEA ETHIOPIA MKUTANO WA AU

Rais William Ruto ataondoka kuelekea Addis Ababa, Ethiopia, kwa Mkutano wa 37 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika.

Mada kuu ya mkutano huo ni kujenga mifumo thabiti ya elimu kwa ajili ya rasilimali watu ya karne ya 21 barani Afrika.

Rais Ruto atazungumzia kuhusu ukosefu wa usawa wa elimu ambao umewaacha watoto milioni 98 barani Afrika bila fursa ya kwenda shule  huku pia akitoa ripoti kuhusu hatua ambazo bara limepiga katika kupunguza mgogoro wa tabianchi.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

RUTO KUELEKEA ETHIOPIA MKUTANO WA AU

RUKU AMKOSOA OGINGA KWA KUDAI WADHIFA WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *