#Local News

USHAURI WA NATEMBEYA KWA IEBC

Wakati uo huo, gavana wa Trans Nzoia George Natembeya, ametoa changamoto kwa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kutumia uchaguzi mkuu ujao kurejesha imani ya wakenya, kwa kuhakikisha uwazi uhuru na haki katika matokeo hasa ya urais.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, gavana huyo amesema kuwa wakenya wamekosa imani kwenye tume hiyo kutokana na jinsi imekuwa ikiendesha chaguzi.

Amewataka wakenya kujitokeza kwa wingi kupiga kura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

USHAURI WA NATEMBEYA KWA IEBC

AFUENI YA KILIMO BUNGOMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *