#Local News

RAIS RUTO APATA UUNGWAJI MKONO NCHINI QATAR ILI KUENDELEZA MIRADI NCHINI

Rais William Ruto amepata uungwaji mkono  kutoka nchi ya Qatar ili kuendeleza mipango ya Kenya ya kuimarisha miundo msingi.

Makubaliano hayo yameafikiwa hii leo wakati wa mazungumzo na Emir Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani huko Doha

Ruto amesema kuwa  Qatar itaongeza uwekezaji katika maeneo muhimu, ikiwemo kilimo, miundombinu na fedha

Imetayarishwa na Jones Koikai

RAIS RUTO APATA UUNGWAJI MKONO NCHINI QATAR ILI KUENDELEZA MIRADI NCHINI

IDARA YA UTABIRI WA HALI YA HEWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *