WAHADHIRI WA VYUO VIKUU WAMEKATAA KUSITISHA MGOMO WAO
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wa vyuo vikuu na wahadhiri UASU na kusu wamesema kuwa mgomo wao unaendelea hadi pale serikali itakapo walipa pesa wanazodai .
viongozi hao wametoa tangazo hilo baada ya kukosa kuafikiana kwenye mkutano wao na serikali, na mgomo huo ukiendelea kwa siku 45 sasa wanafunzi wakitishia kuandamana kote nchini
Kwa mujibu wa mkataba wao wa makubaliano ni kwamba wahadhiri wanaidai serikali shilingi bilioni 7.9.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 








































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































