#Local News

WAKENYA WATAHADHARISHWA DHIDI YA BIDHAA GHUSHI

Mamlaka ya kukabiliana na bidhaa ghushi nchini, ACA, imewatahadharisha wakenya dhidi ya kumia bidhaa hizo, ikisema matumizi ya bidhaa hizo yamechangia madhara makubwa kwa uchumi wa taifa.

Katika kikao na wanahabari baada ya kongamano la siku moja na wadau mbali mbali mjini Bungoma, mkurugenzi wa mamlaka hiyo Henry Maina, amesema kuwa Kenya ni miongoni mwa mataifa yanayokabili tatizo la matumizi ya bidhaa ghushi.

Amesema ACA imefanikiwa kuzuia bidhaa ghushi zenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 8 katika muda wa miaka 15 tangu kubuniwa kwake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WATAHADHARISHWA DHIDI YA BIDHAA GHUSHI

CHAGUZI NDOGO 4 ZAENDELEA NCHINI 

WAKENYA WATAHADHARISHWA DHIDI YA BIDHAA GHUSHI

USAMBAZAJI WA DAWA ZA KUKABILI HIV WAANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *