#Local News

RUTO:MIMI NDIO BORA

Rais William Ruto ameendelea kujiwasilisha kama suluhu kwa matatizo yanayowakumba vijana mfano wa ukosefu wa ajira, huku akiukosoa muungano wa upinzani kama usio na ufahamu kwa changamoto hizo.

Akizungumza katika eneo la Acher’s Post kaunti ya Samburu, Ruto amewataka vijana kujiepusha na viongozi anaowataja kama wachochezi, na badala yake kuwapiga msasa viongozi wao kutokana na rekodi ya maendeleo.

Alikuwa akizundua mradi wa serikali wa NYOTA.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO:MIMI NDIO BORA

LSK KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA

RUTO:MIMI NDIO BORA

UCHAGUZI GIZANI UGANDA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *