#Local News

UPINZANI KUPINGA MATOKEO YA CHAGUZI MAHAKAMANI

Muungano wa upinzani umetangaza kuelekea mahakamani wiki hii kupinga matokeo ya chaguzi ndogo hasa katika maeneo bunge ya Malava na Mbeere North zilizofanyika wiki jana, kwa misingi kwamba kulikuwa na ukiukaji wa sheria wakati wa chaguzi hizo.

Kwa mujibu wa kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, kulikuwa na vurugu, kuwahonga na kuwatisha wapiga kura miongoni mwa visa vingine vya ukiukaji wa sheria za uchaguzi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UPINZANI KUPINGA MATOKEO YA CHAGUZI MAHAKAMANI

AVIATION FM YAPAA 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *