#Local News

GATHUNGU AKOSOA UKOPAJI WA SERIKALI

Kenya ina uwezo wa kufadhili miradi yake ya maendeleo bila kuhitaji kukopa fedha zaidi nyumbani na katika mashirika ya kimataifa.

Haya ni kwa mujibu wa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Nancy Gathungu, akikariri kuwa ushuru wa juu na ufisadi ndivyo vizingiti vikuu katika juhudi za serikali kufufua uchumi, huku akikosoa kiwango cha juu cha deni la taifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GATHUNGU AKOSOA UKOPAJI WA SERIKALI

TANZANIA YAHARAMISHA MAANDAMANO

GATHUNGU AKOSOA UKOPAJI WA SERIKALI

MUSYOKA AKEJELI GUMZO LA SINGAPORE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *