#Local News

SERIKALI KUU, KAUNTI KUSHIRIKIANA KUTOA BASARI

Serikali kuu na zile za kaunti zimetia saini makubaliano kuhusu usambazaji wa basari za kufadhili elimu ya wanafunzi, hatua itakayohakikisha kila mwanafunzi kutoka familia isiyojiweza anafikiwa na ufadhili wa serikali.

Haya ni kulingana na Rais William Ruto, akisisitiza haja ya ushirikiano huo licha ya basari hizo kuwa jukumu la serikali kuu, akisema ushirikiano huo umeidhinishwa na afisi ya mdhibiti wa bajeti ya serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *