#Local News

VIONGOZI WA ODM WAMKOSOA KENYATTA 

Kundi la viongozi kutoka magaharibi mwa nchi limeendeleza shutuma zake dhidi ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kwa madai ya kufadhili mrengo wa ODM unaoongozwa na katibu mkuu Edwin Sifuna, wakisema hatua hiyo itavuruga azma ya eneo hilo kutwaa uongozi wa taifa hili baada ya Rais William Ruto.

Walikuwa wakizungumza katika eneo bunge la Malava, huku mwenyekiti wa ODM Gladys Wanga akisisitiza kuwa ushirikiano kati ya chama hicho na UDA hautayumbishwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

VIONGOZI WA ODM WAMKOSOA KENYATTA 

MURKOMEN ATETEA IDARA YA USALAMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *