KOSKEI ASHTUMU UTENDAKAZI WA BAADHI YA TUME NCHINI
Mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei amesema kwamba ufisadi kwenye sekta ya umma umechangia kudorora kwa uchumi wa taifa.
Akizungumza kwenye uzinduzi rasmi wa tume ya mishahara nchini SRC, koskei ameshutumu utendakazi wa baadhi ya tume nchini ambazo hazitumikii wakenya ipasavyo ilhali zinapokea mishahara mikubwa.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































