KCSE YAANZA LEO
Watahiniwa zaidi ya elfu 900 wanaanza rasmi mtihani wao wa kidato cha 4 KCSE hii leo, mtihani ulioratibiwa kufanywa hii leo ni ule wa kategoria ya kuandika.
Kulingana na ratiba ya baraza la mitihani ya kitaifa KNEC, mtihani huo utakamilika tarehe 21 mwezi huu kwa karatasi ya 3 ya Fizikia.
Waziri wa elimu Julius Ogamba ametoa hakikisho kuwa
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































