#Local News

WANDANI WA KINDIKI WATETEA ‘TONGE’ 

Mjadala kuhusu ni nani atakayekuwa naibu rais wa Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu ujao umeendelea kushika kasi huku wandani wa naibu Rais wa sasa Kithure Kindiki wakisisitiza kuwa wadhifa huo hautapokonywa Kindiki.

Wakizungumza kwenye mkutano mjini Embu wakiwa wameandamana na Kindiki, wandani hao wamemtaka kinara wa ODM Oburu Oginga kukoma kukimezea mate kiti hicho.

Naye Kindiki amewahimiza viongozi kutuliza joto la kisiasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANDANI WA KINDIKI WATETEA ‘TONGE’ 

UPINZANI WAKOSOA ‘UTEPETEVU’ NPS

WANDANI WA KINDIKI WATETEA ‘TONGE’ 

DCI YACHUNGUZA VURUGU ZA MBALE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *