#Local News

UONGOZI WA ODM KWENYE RATILI

Misukosuko ya uongozi imeanza kukikumba chama chama cha ODM, baadhi ya wanachama wakiwasilisha ombi kwa bodi ya uchaguzi ya chama hicho wakimtaka kinara mpya Oburu Odinga ajiuzulu mara moja.

Kwa mujibu wa wanachama hao wakiongozwa na Rachel Tabitha, Odinga amekiuka katiba ya chama hicho mbali na kudhoofisha demokrasia chamani.

Wameipa bodi hiyo siku 30 kuangazia malalamishi yao la sivyo wakigure chama hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UONGOZI WA ODM KWENYE RATILI

WALIMU WA JSS WATANGAZA MGOMO

UONGOZI WA ODM KWENYE RATILI

SERIKALI, UPINZANI WALAUMIANA MBEERE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *