#Local News

NDAKWA AAHIDI USHIRIKIANO

Mbunge mteule wa Malava kaunti ya Kakamega David Athman Ndakwa, ameahidi kuwashirikisha wakazi wote eneo hilo katika uendeshaji wa majukumu yake, bila kuzingatia tofauti za kisiasa.

Akizungumza baada ya kupokezwa cheti cha ushindi kwenye uchaguzi mdogo, Ndakwa ameipongeza IEBC akisema imeendesha uchaguzi huo kwa mujibu wa mwongozo wa sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NDAKWA AAHIDI USHIRIKIANO

NDAKWA AIBUKA MSHINDI MALAVA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *