KMPDU YATOA MAKATAA COAST GENERAL
Serikali ya kaunti ya Mombasa ina siku 7 kuchukua hatua na kumrejesha kazini afisa mkuu mtendaji wa hospitali ya rufaa ya Coast General Daktari Iqbal Kandwalla la sivyo madkatari wasitishe huduma zao na kulemaza matibabu kwenye hostali hiyo.
Kandwalla alisimamishwa kazi kwa madai ya utepetevu kazini unaohusishwa na kifo cha Ali Kibwana hospitalini humo, aliyekuwa mlinzi wa usiku katika afisi ya mbunge wa Mvita Mohammed Machele.
KMPDU imepinga uamuzi wa kumsimamisha kazi, ikitaja kuwa kinyume na sheria.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 




























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































