#Local News

KMPDU YATOA MAKATAA COAST GENERAL

Serikali ya kaunti ya Mombasa ina siku 7 kuchukua hatua na kumrejesha kazini afisa mkuu mtendaji wa hospitali ya rufaa ya Coast General Daktari Iqbal Kandwalla la sivyo madkatari wasitishe huduma zao na kulemaza matibabu kwenye hostali hiyo.

Kandwalla alisimamishwa kazi kwa madai ya utepetevu kazini unaohusishwa na kifo cha Ali Kibwana hospitalini humo, aliyekuwa mlinzi wa usiku katika afisi ya mbunge wa Mvita Mohammed Machele.

KMPDU imepinga uamuzi wa kumsimamisha kazi, ikitaja kuwa kinyume na sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KMPDU YATOA MAKATAA COAST GENERAL

UPASUAJI WA MAITI WAFICHUA KIINI CHA KIFO

KMPDU YATOA MAKATAA COAST GENERAL

INGONGA AILAUMU DCI, IPOA KWA UCHUNGUZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *