#Local News

WAZIRI MKUU WA MALASYA NCHINI

Ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya Kenya na Malaysia unatarajia kuimarika kutokana na ziara ya Waziri mkuu wa taifa hilo Anwar Ibrahim, ambayo inaanza rasmi hii leo baada yake kuwasili hapo jana.

Kwa mujibu wa Rais William Ruto aliyempokea Waziri huyo mkuu, Kenya inalenga kujifunza mengi kutoka kwa taifa hilo hasa kuhusiana na masuala ya miundomsingi na makazi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAZIRI MKUU WA MALASYA NCHINI

GACHAGUA, KINDIKI WAENDELEZA UBABE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *